Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Gavana wa Kirinyaga Anne Waiguru, ametoa wito kwa wakazi wa Ol Kalou kumchagua mwaniaji wa chama cha UDA Sammy Muchina Nyaga katika Uchaguzi mdogo ujao. Akizungumza alipokuwa akimpigia debe Muchina, …