Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Takriban watu 131 wamethibitishwa kufariki kutokana na mlipuko mpya wa ugonjwa wa Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC). Kulingana na maafisa, maambukizi 513 yameripotiwa nchini humo. Maafisa hao…