Habari za Kimataifa

Polisi wasambaratisha genge sugu la wahalifu Kampala

Maafisa wa polisi Jijini  Kampala, Uganda, wamesambaratisha genge moja la majambazi ambalo linadaiwa kuwahangaisha wakazi wa eneo la  Mukono na viunga vyake. Operesheni hiyo ilitekelezwa baada ya kuripotiwa misururu ya wizi ambapo kundi la vijana almaarufu “Eggaali”, limedaiwa kuwashambulia wananchi…

Burudani

Welcome to the official KBC Swahili

Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.

Eddy Kenzo apatanisha D Star na Mudra D Viral

Wasanii hao wawili wamekuwa wakivutana kuhusiana na hakimiliki na mgao wa mirabaha kutokana na wimbo wao maarufu Hoozambe Remix.