Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Katibu katika Wizara ya Mambo ya Nje Korir Sing'Oei, amesema kuwa ili bara la Afrika liweze kukabilina na changamoto zilizopo, ni sharti liweze kuzungumza kwa sauti moja. Akizungumza leo Alhamisi…
Chad imesema italipiza kisasi baada ya Sudan kutumia ndege zisizo na rubani kufanya shambulizi na kusababisha vifo vya watu 17 na wengine kadhaa kujeruhiwa. Rais wa Chad Mahamat Idriss Deby, akiwa amevalia sare za kijeshi aliitisha mkutano wa Baraza la…
Bunge la Uganda lilipitisha mswada wa marekebisho ya sheria kuhusu hakimiliki na haki husika wa mwaka 2025.
Wakulima wana kila sababu ya kutabasamu baada ya serikali kutangaza bei za mbegu za mahindi kwa mwaka 2025/2026. Katibu katika Wizara ya Kilimo Dkt. Kipronoh Ronoh anasema serikali imetenga shilingi…