Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Ogamba jana aliamrisha kufanywa kwa uchunguzi wa kashfa hiyo na ripoti kuwasilishwa katika afisi yake.
Mzozo wa mlango wa bahari wa Strait of Hormuz, umechangia kuongezeka kwa bei za mafuta ulimwenguni, huku Marekani ikinakili ongezeko kubwa la bei kwa kipindi cha miaka minne .
Anasema kwamba ameamua kujitokeza kuongea kuhusu yaliyotokea kwani amechagua kuyaangazia badala ya kujitetea.