Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Aliahidi kuwa Serikali imejitolea kudhibiti bei ya bidhaa za mafuta, ili kuzuia kupanda kwa gharama ya maisha.
Rais wa China Xi Jinping amesema China na Urusi zinapaswa kuimarisha uhusiano wao ili kufufua uchumi wa mataifa hayo. Akizungumza wakati wa ziara ya Rais Vladimir Putin nchini humo, Xi alipongeza uhusiano kati ya nchi hizo mbili akisema umefanikiwa kuboresha…
Wasanii hao wawili wamekuwa wakivutana kuhusiana na hakimiliki na mgao wa mirabaha kutokana na wimbo wao maarufu Hoozambe Remix.