Habari za Kimataifa

Waziri Mkuu wa zamani wa DRC Augustin Matata Ponyo afungwa jela

Waziri Mkuu wa zamani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) Augustin Matata Ponyo, amehukumiwa kifungo cha miaka kumi cha kazi ya kulazimishwa kwa kosa la rushwa. Ponyo alipatikana na hatia ya ubadhirifu wa takribani $245m (£182m) za fedha za…

Burudani

Welcome to the official KBC Swahili

Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.

Kanyomozi asifia kazi ya Bebe Cool

Msanii huyo alikuwa mmoja wa waliopata fursa ya kusikiliza nyimbo za albamu mpya ya Bebe Cool kabla ya kuzinduliwa.

Serikali yaimarisha juhudi za kufufua sekta ya Pamba

Serikali imetangaza kutekeleza mageuzi katika vyama vya ushirika,katika juhudi mpya za kufufua sekta ya pamba hapa nchini. Katibu katika wizara ya Vyama vya Ushirika Patrick Kilemi, amesema mswada wa sheria…