Habari za Kimataifa

Rais wa China atoa wito wa hatua thabiti katika kilimo cha kisasa na maeneo ya vijijini

Rais wa China Xi Jinping ametoa wito wa hatua thabiti kuchukuliwa ili kuendeleza kilimo cha kisasa na maeneo ya vijijini. Rais Xi aliyasema hayo wakati wa ziara ya ukaguzi mjini Dezhou, mkoa wa Shandong, mashariki mwa China. Amesema juhudi zinapaswa…

Burudani

Welcome to the official KBC Swahili

Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.

Pacha waoa pacha katika harusi ya pamoja Nigeria

Wakati wageni walipokusanyika katika kanisa jijini Ibadan kusini-magharibi mwa Nigeria mwishoni mwa wiki, walijua walikuwa wakishuhudia tukio la kipekee. Ndugu pacha wawili wa kiume, Taiwo na Kehinde Oguntoye, walifunga ndoa…