Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Timu zote mbili zilimaliza mechi za makundi kwa alama sawa saba ,kushinda michuano miwili na kutoka sare mmoja,Uholanzi wakiongoza kundi F nao Morocco, wakachukua nafasi ya pili kundini C.
Mikusanyiko ya umma imepigwa marufuku katika majimbo ya Kinshasa, Tshopo, Bas Uele na Haut Uele.
Wakati wageni walipokusanyika katika kanisa jijini Ibadan kusini-magharibi mwa Nigeria mwishoni mwa wiki, walijua walikuwa wakishuhudia tukio la kipekee. Ndugu pacha wawili wa kiume, Taiwo na Kehinde Oguntoye, walifunga ndoa…