Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Timu hizo mbili zimeratibu mazoezi yao ya kabla ya msimu nchini Kenya mwezi Agosti.
Kulingana na takwimu Namibia, ililipa deni lote la IMF la dola 23,887,5000, kufikia mwishoni mwa mwezi Machi mwaka huu.
Kesi hiyo ilitajwa leo katika mahakama ya Shanzu huko Mombasa na itatajwa tena Juni 3, 2026.