Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Ruto na mwenyeji wake walikutana pembezoni mwa kongamano la kimataifa la miji yaani World Urban Forum.
Serikali ya Comoros iliongeza bei ya Dizeli kwa asilimia 46 na asilimia 35 kwa bei ya Petroli.
Wasanii hao wawili wamekuwa wakivutana kuhusiana na hakimiliki na mgao wa mirabaha kutokana na wimbo wao maarufu Hoozambe Remix.