Israel na Hamas zakubaliana kusitisha mapigano

Serikali ya Israel imeidhinisha makubaliano mapya ya kusitisha mapigano na Hamas katika eneo la Gaza, pamoja  na kuwaachilia mateka wa pande zote mbili. Hayo yaliafikiwa baada ya majadiliano yaliyodumu kwa saa kadhaa. Baraza la mawaziri la usalama hapo awali lilipendekeza…

Watu wawili wakamatwa kwa kuharibu miundombinu Narok

Maafisa wa polisi kutoka kituo cha polisi cha Ntulele, wamewatia nguvuni watu wawili wanaoshukiwa kujihusisha na uharibifu wa daraja la umma linalojengwa katika mto Ewaso Nyiro. Kulingana na idara ya…