Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Renard aliye na umri wa miaka 57 alishinda kombe la AFCON na timu za Zambia mwaka 2012 na Ivory Coast mwaka 2015.
Maafisa wa kijeshi wamesema ndege hiyo ilianguka saa tano na dakika 20 saa za nchi hiyo, ilipokuwa ikifanyiwa majaribio katika uwanja wa jeshi la wanahewa la Edwards.
Oliver alikuwa miongoni mwa watu sita waliofariki baada ya helikopta mbili kugongana zikiwa angani.