Habari za Kimataifa

Mumewe Rais Samia Suluhu wa Tanzania afariki

Mumeme Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania, Hafidh Ameir Hassan, amefariki. Hafidh alifariki mapema leo Jumatatu wakati akitibiwa ugonjwa wa moyo. Akitangaza kifo hicho, Makamu mpya wa Rais wa nchi hiyo Deogratius Ndejembi alisema Hafidh alifariki wakati akipokea matibabu katika…

Burudani

Welcome to the official KBC Swahili

Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.

Jose Chameleone amkomesha Kid Fox

Kid Fox alijifanya kutofahamu wasanii wa kizazi cha sasa na kususia mafanikio ya nyota wakubwa wa muziki.