Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Tume huru ya uchaguzi na uratibu wa mipaka nchini (IEBC ),imefafanua kuwa ni wapiga kura pekee ambao walisajiliwa kabla ya mwaka 2012, na ambao hawakunakiliwa keieltroniki wanaopaswa kujisajili tena kwenye…
Marekani imetoa ilani ya saa 48 kwa Iran, kusitisha vita na kusaini mwafaka wa kusitisha vota la sivyo ishambuliwe vilivyo. Rais Donald Trump amesema kuwa muda unayoyoma kwa Iran kusalimu amri la sivyo ataikabili vikali. Wakati uo huo Marekani imesema…
Gavana wa zamani wa kaunti ya Nairobi Mike Sonko ametangaza kwamba ameondokea biashara ya pombe kabisa, ikizingatiwa kwamba alichagua kuacha kutumia pombe na kusonga karibu na Mungu. Alikuwa akizungumza alipozuru…
Mapato kutokana na mauzo ya Majani Chai nje ya nchi,yameongezeka hadi shilingi bilioni 186.9, hatua ambayo imesababishwa na ongezeko la hitaji la bidhaa hiyo katika soko la kimataifa. Takwimu za…