Habari za Kimataifa

Ousmane Sonko: Waziri Mkuu aliyetimuliwa, achaguliwa kuwa Spika

Ousmane Sonko mwenye umri wa miaka 51 amechaguliwa kuwa Spika wa Bunge la Taifa la Senegal leo Jumanne, akimrithi El Malick Ndiaye ambaye alijiuzulu Jumapili. Sonko alikuwa Waziri Mkuu kuanzia Aprili 2024 hadi Mei 2026, lakini alifutwa kazi Ijumaa iliyopita…

Burudani

Welcome to the official KBC Swahili

Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.

Eddy Kenzo apatanisha D Star na Mudra D Viral

Wasanii hao wawili wamekuwa wakivutana kuhusiana na hakimiliki na mgao wa mirabaha kutokana na wimbo wao maarufu Hoozambe Remix.