Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Bei ya tiketi za mechi zingine zinauzwa kwa kati ya shilingi laki 2 za Kenya kwa eneo la Pavilion na shilingi 453,000 kwa zile za eneo la Pitchside.
Kamandi Kuu ya Marekani (CENTCOM) imesema ilianzisha mashambulizi dhidi ya Iran kwa kusudi la kujibu shambulizi la awali ambapo helikopta ya jeshi la Marekani iliangushwa. Kwenye ujumbe katika mitandao ya kijamii jana Jumanne, CENTCOM ilisema hatua hiyo ni "mwitikio mwafaka…
Omondi alishinda korokoroni wikendi iliyopita baada ya kukamatwa kwake.