Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Waziri wa Elimu Julius Ogamba, ametangaza kuvunjwa kwa Bodi ya Usimamizi wa Utumishi Girls Academy, kufuatia mkasa wa moto siku ya Alhamisi. Kwenye mkasa huo wanafunzi 16 walifariki, huku zaidi…
Romania imemfukuza balozi wa Urusi kutoka nchini humo, na kufunga ubalozi wa Urusi, baada ya ndege mbili zisizo na rubani za Urusi kushambulia eneo la makazi nchini Romania. Watu wawili wamejuruhiwa katika shambulio hilo mashariki mwa mji wa Galati. Romania…
Wasanii hao wawili wamekuwa wakivutana kuhusiana na hakimiliki na mgao wa mirabaha kutokana na wimbo wao maarufu Hoozambe Remix.