Habari za Kimataifa

Watu 200 wafariki kwenye maporomoko ya mgodi DRC

Taarifa na BBC Serikali ya Jamhuri ya demokrasia ya Congo imesema zaidi ya watu 200 wamefariki, wakiwemo watoto 70, baada ya maporomoko ya ardhi mashariki mwa nchi hiyo. Maporomoko hayo yalitokea katika eneo la Rubaya, ambalo ndilo chanzo kikubwa cha…

Burudani

Welcome to the official KBC Swahili

Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.

Mutua afafanua kuhusu mwonekano wa Mary Atieno

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Hakimiliki za Muziki nchini, MCSK Dkt. Ezekiel Mutua ametoa taarifa kuhusu picha iliyosambaa mitandaoni ya mwimbaji wa nyimbo za injili Mary Atieno. Katika taarifa hiyo,…

Safaricom: Idadi ya wateja wa M-PESA imefika milioni 40

Kampuni ya mawasiliano ya simu za mkononi Safaricom, leo Ijumaa imetangaza kwamba idadi ya wateja wa M-PESA imefikia milioni 40, huku inaposherehekea miaka 19 ya ujumuishaji wa kifedha. Kwenye taarifa…