Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Hafla ya kutia saini mswada huo ilifanyika katika Ikulu ya Nairobi na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali, wakiwemo Maspika Moses Wetang'ula na Amason Kingi.
Makubaliano kati ya nchi hizo mbili yatasainiwa rasmi wakati wa hafla itakayoandaliwa nchini uswizi Ijumaa wiki hii.
Omondi alishinda korokoroni wikendi iliyopita baada ya kukamatwa kwake.