Habari za Kimataifa

DRC yamteua Gavana mpya wa Ituri

Wilaya ya Ituri ambayo ndiyo kitovu cha mlipuko wa ugonjwa wa Ebola,  sasa ina Gavana mpya huku juhudi zikiimarishwa kukabiliana na ugonjwa huo hatari. Rais wa taifa hilo Felix Tshisekedi, amemteua Meja Jenerali Kasongo Mulumba Batoka Gaby kuwa Gavana mpya…

Burudani

Welcome to the official KBC Swahili

Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.

Shakira na Burnaboy kupiga kibao Dai Dai katika ufunguzi wa Kombe la Dunia

Wimbo wa Dai Dai, unalanga kuchangisha dola laki moja za Marekani sawa na Shilingi bilioni 12.9 za Kenya, kugharamia masomo ya watoto na mafunzo ya soka kwa watoto kote duniani.