Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Ufadhili huo ulinufaisha wafanyabiashara vijana 10,337 kutoka kaunti za Nairobi, Kiambu na Kajiado.
Chama hicho kilisema kimepokea taarifa za kuaminika kuwa Besigye alihamishwa usiku wa manane kutoka Gereza la Luzira kwenda kituo cha afya.
Chama cha wanawake wanaojuhusisha na masuala ya filamu na televisheni nchini - WIFT na tume ya filamu Kenya - KFC zimetangaza mipango ya kushirikiana kwa karibu zaidi. Lango lao ni…
Fedha hizo zitaelekezwa katika sekta za nishati, barabara, maji, viwanja vya ndege na miundombinu ya kidijitali huku utegemezi wa mikopo na ushuru ukipungua.