Waziri Kabogo anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Dkt. Margaret Ndung'u aliyeteuliwa kuwa Balozi wa Kenya nchini Ghana kabla ya kukataa uteuzi huo.
Serikali ya Israel imeidhinisha makubaliano mapya ya kusitisha mapigano na Hamas katika eneo la Gaza, pamoja na kuwaachilia mateka wa pande zote mbili. Hayo yaliafikiwa baada ya majadiliano yaliyodumu kwa saa kadhaa. Baraza la mawaziri la usalama hapo awali lilipendekeza…
Alitumia maneno ya upendo, imani na ya kifamilia kumsherehekea msichana huyo kwa jina Adele Ayomide Makun.
Maafisa wa polisi kutoka kituo cha polisi cha Ntulele, wamewatia nguvuni watu wawili wanaoshukiwa kujihusisha na uharibifu wa daraja la umma linalojengwa katika mto Ewaso Nyiro. Kulingana na idara ya…