Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Waziri Lee Kinyanjui ameonya kuwa wageni wanaojihusisha na shughuli zilizo nje ya masharti ya hadhi yao ya uhamiaji wanaweza kupokonywa viza.
Mumeme Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania, Hafidh Ameir Hassan, amefariki. Hafidh alifariki mapema leo Jumatatu wakati akitibiwa ugonjwa wa moyo. Akitangaza kifo hicho, Makamu mpya wa Rais wa nchi hiyo Deogratius Ndejembi alisema Hafidh alifariki wakati akipokea matibabu katika…
Kid Fox alijifanya kutofahamu wasanii wa kizazi cha sasa na kususia mafanikio ya nyota wakubwa wa muziki.