Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Rekodi za hivi karibuni zinaashiria kuwa Wakenya zaidi ya 540,000 wamepata ajira nje ya nchi huku zaidi ya dola bilioni 5 zikitumwa nchini mwaka 2025.
Sheria hiyo inawezesha mamlaka za China kupiga marufuku raia wake wanaokiuka sheria za uagizaji na usafirishaji nje wa teknolojia kuondoka nchini humo.
Waandaaji wanataka kongamano hilo liandaliwe kila baada ya miaka miwili na hatimaye kuhusisha shule za sanaa kote Afrika Mashariki.