Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Rais William Ruto ameelezea matumaini kwamba makubaliano hayo yatapunguza gharama za kutibu aina mbalimbali za saratani nchini.
Vifo vilivyotokana na mafuriko ynchini Nepal, na eneo la Tibet nchini China vimepanda na kufikia 800 huku zaidi ya watu 3,000 wakiwa hawajulikani waliko.
Atahamasisha uelewa wa vyombo vya habari na taarifa, matumizi salama ya teknolojia, pamoja na usalama wa kidijitali.