Habari za Kimataifa

Nepal yaonya kuhusu mafuriko zaidi huku watu 3,000 wakitoweka

Vifo vilivyotokana na mafuriko ya wiki jana nchini Nepal, na eneo la Tibet nchini Uchina, vimepanda na kufikia 800, huku zaidi ya watu 3,000 wakiwa hawajulikani waliko.

Burudani

Welcome to the official KBC Swahili

Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.

Ragga Dee azungumzia machozi ya kinafiki mazishini

Amekosoa hulka ya watu kuomboleza kwa huzuni kubwa mtu akifariki, ilhali alipokuwa hai walimpuuza, kumdharau au hata kufurahia matatizo yake