Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Uchaguzi mdogo eneo bunge la Isiolo Kusini utafanyika Alhamisi, Februari 26, mwaka huu.
Kiongozi huyo ameapa kuchukua tena silaha, kulinda taifa lake.
Densi za kitamaduni kutoka jamii mbali mbali ambazo mara nyingi hupamba sherehe za kitaifa leo hazikuwepo.
Serikali imeuza asilimia 15 ya hisa za Safaricom kwa kampuni ya Vodacom katika mkataba wa biashara kwa thamani ya shilingi bilioni 240.5. Hii ni sehemu ya mpango wa kufungua uwekezaji…