Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Hata hivyo, wahudumu wa uchukuzi wa umma wanashikilia kuwa mgomo wa matatu utaendelea hadi serikali ipunguze bei ya mafuta kwa hadi shilingi 30-35.
Takriban watu 131 wamethibitishwa kufariki kutokana na mlipuko mpya wa ugonjwa wa Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), huku maambukizi 513 yakinakiliwa, kulingana na maafisa wa taifa hilo. Maafisa wa DRC pia wamethibitisha kuwa maambukizi hayo ya Ebola,…
Wasanii hao wawili wamekuwa wakivutana kuhusiana na hakimiliki na mgao wa mirabaha kutokana na wimbo wao maarufu Hoozambe Remix.