Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Mbunge wa Kasarani Ronald Karauri ametangaza azma ya kuwania Ugavana wa kaunti ya Nairobi kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka ujao. Karauri amesema nia yake endapo atachaguliwa ni kubadulisha hali ya…
Shabana FC ilizidisha masaibu ya mabingwa wa zamani Tukser FC walipowanyuka bao moja bila jawabu katika mechi ya Ligi Kuu ya Sportpesa iliyopigwa Jumamosi katika uwanja wa Gus. ii. AFC Leopards walisajili ushindi wa magoli 2-1 dhidi ya Posta Rangers…
Densi za kitamaduni kutoka jamii mbali mbali ambazo mara nyingi hupamba sherehe za kitaifa leo hazikuwepo.
Serikali imeuza asilimia 15 ya hisa za Safaricom kwa kampuni ya Vodacom katika mkataba wa biashara kwa thamani ya shilingi bilioni 240.5. Hii ni sehemu ya mpango wa kufungua uwekezaji…