Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Waziri wa Afya Aden Duale amehakikisha kuwa Kenya haijanakili kisa chochote cha ugonjwa wa Ebola, licha ya kuimarisha uchunguzi kufuatia mlipuko wa ugonjwa huo katika Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo…
Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi nchini Tanzania Faustine Jackson Mafwele hawezi kukanyaga guu nchini Marekani kwa sasa. Hii ni baada ya kuwekewa vikwazo na Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani. Kwenye taarifa, Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi…
Wasanii hao wawili wamekuwa wakivutana kuhusiana na hakimiliki na mgao wa mirabaha kutokana na wimbo wao maarufu Hoozambe Remix.