Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Chama cha Madaktari, wataalam wa dawa na meno KMPDU, kimetangaza kushiriki maandamano leo Jumanne, kulalamikia kudorora kwa mfum wa afya hapa nchini. Kupitia kwa ilani iliyotumwa kwa vyombo vya habari,…
Kundi la waasi la M23 linalodaiwa kuungwa mkono na Rwanda, limetangaza kuwa halitashiriki tena katika mazungumzo ya amani yaliyopangwa kufanyika leo Jumanne Jijini Luanda, Angola. Awali kundi hilo lilithibitisha kuwa litahudhuria kwenye mazungumzo hayo ya kwanza ya ana kwa ana…
Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Mwigizaji huyo anakabiliwa na kesi ya kuhujumu uchumi kwa kukusanya pesa bila idhini.
Mamlaka ya Mapato nchini (KRA) imezindua vituo vya uwezeshaji biashara katika eneo la Kainuk, Lodwar na Kakuma, kaunti ya Turkana katika hatua inayotarajiwa kupiga jeki biashara kati ya Kenya na…