Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Warsha hiyo itaangazia jukumu la bunge katika kushughulikia changamoto zinazotokana na mabadiliko ya tabianchi.
Waziri Mkuu wa zamani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) Augustin Matata Ponyo, amehukumiwa kifungo cha miaka kumi cha kazi ya kulazimishwa kwa kosa la rushwa. Ponyo alipatikana na hatia ya ubadhirifu wa takribani $245m (£182m) za fedha za…
Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Msanii huyo alikuwa mmoja wa waliopata fursa ya kusikiliza nyimbo za albamu mpya ya Bebe Cool kabla ya kuzinduliwa.
Serikali imetangaza kutekeleza mageuzi katika vyama vya ushirika,katika juhudi mpya za kufufua sekta ya pamba hapa nchini. Katibu katika wizara ya Vyama vya Ushirika Patrick Kilemi, amesema mswada wa sheria…