Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Mikutano hiyo itapiga jeki juhudi za serikali za kuhakikisha amani katika maeneo husika.
Rais wa Marekani Donald Trump ameamuru kutozwa ushuru wa forodha wa asimia 25 kwa chuma na alumini zote zinazoingia nchini humo katika upanuzi mkubwa wa vikwazo vya biashara vilivyopo. Ushuru huo, ambao utaongeza gharama za kuagiza bidhaa hizo nchini Marekani,…
Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Mchekeshaji huyo sasa anaangazia uundaji wa maudhui mitandaoni.
Tamasha hilo lingeandaliwa Februari 21, 2025 katika hoteli ya Africana.