Habari za Kimataifa

M23 yajitoa kwenye mazungumzo ya amani ya Angola

Kundi la waasi la M23 linalodaiwa kuungwa mkono na Rwanda, limetangaza kuwa halitashiriki tena katika mazungumzo ya amani yaliyopangwa kufanyika leo Jumanne Jijini Luanda, Angola. Awali kundi hilo lilithibitisha kuwa litahudhuria kwenye mazungumzo hayo ya kwanza ya ana kwa ana…

Burudani

Welcome to the official KBC Swahili

Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.

KRA yazindua vituo vya uwezeshaji biashara Turkana

Mamlaka ya Mapato nchini (KRA) imezindua vituo vya uwezeshaji biashara katika eneo la Kainuk, Lodwar na Kakuma, kaunti ya Turkana katika hatua inayotarajiwa kupiga jeki biashara kati ya Kenya na…