Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Rais ametoa wito kwa bara la Afrika kuunga mkono na kustawisha taasisi zake lenyewe.
Kundi la kutetea haki za binadamu limesema kuwa wanamgambo wa Sudan walifanya uhalifu dhidi ya ubinadamu na utakasaji wa kikabila wakati wa kampeni yao ya kuuteka mji wa El-Fasher mwaka jana. Kuzingirwa na kutekwa kwa mji huo ulioko katika eneo…
Hii ni baada yake kugundua kwamba Abba Marcus na mpenzi wake wanatarajia mtoto.