Habari za Kimataifa

Balozi wa Urusi afurushwa Romania kufuatia shambulizi la droni

Romania imemfukuza balozi wa Urusi kutoka nchini humo, na kufunga ubalozi wa Urusi, baada ya ndege mbili zisizo na rubani za Urusi kushambulia eneo la makazi nchini Romania. Watu wawili wamejuruhiwa katika shambulio hilo mashariki mwa mji wa Galati. Romania…

Burudani

Welcome to the official KBC Swahili

Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.

Eddy Kenzo apatanisha D Star na Mudra D Viral

Wasanii hao wawili wamekuwa wakivutana kuhusiana na hakimiliki na mgao wa mirabaha kutokana na wimbo wao maarufu Hoozambe Remix.