Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Tume hiyo imeonya wanaotoa madai ya wizi wa kura ikisema watachukuliwa hatua kali, na kuahidi uovu huo hautaruhusiwa kamwe kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2027.
Ousmane Sonko mwenye umri wa miaka 51 amechaguliwa kuwa Spika wa Bunge la Taifa la Senegal leo Jumanne, akimrithi El Malick Ndiaye ambaye alijiuzulu Jumapili. Sonko alikuwa Waziri Mkuu kuanzia Aprili 2024 hadi Mei 2026, lakini alifutwa kazi Ijumaa iliyopita…
Wasanii hao wawili wamekuwa wakivutana kuhusiana na hakimiliki na mgao wa mirabaha kutokana na wimbo wao maarufu Hoozambe Remix.