Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Mikataba hiyo inajumuisha uchukuzi na uchumi wa baharini, usawa wa kijinsia na uwezeshaji, mafunzo ya kiufundi, sanaa, utamaduni, turathi na michezo.
Maafisa wa polisi Jijini Kampala, Uganda, wamesambaratisha genge moja la majambazi ambalo linadaiwa kuwahangaisha wakazi wa eneo la Mukono na viunga vyake. Operesheni hiyo ilitekelezwa baada ya kuripotiwa misururu ya wizi ambapo kundi la vijana almaarufu “Eggaali”, limedaiwa kuwashambulia wananchi…
Wasanii hao wawili wamekuwa wakivutana kuhusiana na hakimiliki na mgao wa mirabaha kutokana na wimbo wao maarufu Hoozambe Remix.