Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Hafla hiyo pia ilihudhuriwa na Mawaziri Aden Duale wa Afya,William Kabogo wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano na Julius Ogamba wa Elimu.
Rais wa Marekani Donald Trump, amewasili Jijini Beijing Jumatano jioni kwa ziara ya kiserikali nchini China. Hii ni ziara yake ya kwanza nchini China katika muda wa miaka tisa, na ya pili tangu mwaka 2017. Ndege ya Air Force One…
Aliandaa tamasha na wasanii alioalika kutumbuiza wakakosa kuhudhuria.