Habari za Kimataifa

Xi Jinping: China na Urusi zinapaswa kuimarisha ushirikiano wao

Rais wa China Xi Jinping amesema China na Urusi zinapaswa kuimarisha uhusiano wao ili kufufua uchumi wa mataifa hayo. Akizungumza wakati wa ziara ya Rais Vladimir Putin nchini humo, Xi alipongeza uhusiano kati ya nchi hizo mbili akisema umefanikiwa kuboresha…

Burudani

Welcome to the official KBC Swahili

Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.

Eddy Kenzo apatanisha D Star na Mudra D Viral

Wasanii hao wawili wamekuwa wakivutana kuhusiana na hakimiliki na mgao wa mirabaha kutokana na wimbo wao maarufu Hoozambe Remix.