Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Mawaziri walioapishwa ni pamoja na Geoffrey Ruku, wa utumishi wa umma, na Hanna Cheptumo, wa masuala ya jinsia.
Serikali ya Tanzania imekuwa iking'ang'ana kuuza bidhaa zake zikiwemo ndizi katika soko la Kusini mwa Afrika.
Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Katibu katika wizara ya kilimo Dkt. Kipronoh Ronoh, amekanusha madai kwamba serikali ilipokea msaada wa mbolea kutoka Urusi. Kulingana na Dkt. Ronoh, Kenya ilipokea tu mali ghafi inayotumika kutengeza mbolea…