Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Agnes Jebet Ngetich alishinda nishani ya dhahabu katika mbio za nusu marathoni huku pia timu ya wanawake ya kilomita 21 na ile ya wanaume zikinyakua dhahabu kila moja.
Uamuzi wake ulifuatia kura ya tatu ya maoni isiyo rasmi ya Baraza la Usalama la UN iliyofanyika Ijumaa.
Badala ya kugawanywa kwa usawa miongoni mwa watu binafsi, fedha hizo zitatolewa kama mikopo kwa wabunifu ikiwa na kiwango cha chini cha riba.