Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Spika huyo wa Bunge la Taifa amewataka wanasiasa kutoingilia utenda kazi wa IEBC anayosema ni taasisi huru ya kikataiba.
Kulingana na Kasri ya mji wa Oslo, Mfalme Harald alifariki mapema Ijumaa katika hospitali ya kitaifa ya Oslo.
Hafla hiyo itaandaliwa Jumapili hii inayokuja katika ukumbi wa BK Arena, jijini Kigali.