Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Aidha, ilikuwa mara ya kwanza kwa kongamano hilo kuandaliwa nje ya Ufaransa na barani Afrika, ambapo Kenya ilitia saini ushirikiano wa kibiashara ikiwemo ukarabati wa reli ya Nairobi kwa kima…
Anasema Rais Trump amesitisha tu kwa muda mpango ambao watetezi wa haki za binadamu wanasema unalenga kusafisha eneo hilo kikabila.
Alifariki akiwa na umri wa miaka 65, kutokana na kile kinachotajwa kuwa mshtuko wa moyo nchini Marekani.