Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Wetang’ula amesema ushirikiano kati ya serikali, kanisa Katoliki, wazee na jamii za eneo hilo, umepunguza mizozo kati ya Pokot, Turkana na jamii jirani.
Trump alisema marufuku dhidi ya vituo hivyo, imesababishwa na taarifa kadhaa katika muda wa miaka miwili iliyopita.
King Kinya atazikwa kesho Ijumaa Septemba 18,2026 saa 10 jioni katika makaburi ya Mwananyamala, Dar es Salaam.