Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Rais William Ruto amesema mpango wa nyumba za gharama nafuu umebadilisha na kupandisha hadhi ya Wakenya wengi wa kipato cha chini hususan wanaoishi kwenye mitaa duni. Akizungumza katika mahojiano ya…
Rais William Ruto, ametangaza kuwa kiwanda cha kusafisha mafuta huko Lamu kitazinduliwa rasmi tarehe 30 mwezi huu. Akizungumza na Wanahabari kwenye mahojiano ya moja kwa moja kutika Ikulu ndogo ya Kisumu ,Rais Ruto amesema uzinduzi wa kiwanda hicho kinachojengwa na…
Alizaliwa katika familia ya Kiislamu na alipigwa akiwa mtoto baada ya kwenda kanisani.