Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Mikakati hiyo inajumuisha namna ya kuhakikisha usalama wa nchi kabla, wakati na baada ya uchaguzi mkuu utakaoandaliwa mwakani.
Shirika la Afya Duniani (WHO), limesema ugonjwa huo unaenea kwa kasi sana kuliko maabukizi ya hapo awali.
Songz yuko Tanzania kwa ajili ya tamasha ya IMBEJU Sauti Moja, itakayofanyika kesho Ijumaa Agosti 14, 2026.