Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Murkomen aliwahakikishia wananchi usalama na udhabiti, akisema serikali inajizatiti kukabiliana na wahuni.
Wahamiaji wasiopungua 60,000 wamewasili katika eneo la Ceuta,Kaskazini mwa Uhsipania kutoka Morocco katika muda wa saa 24 zilizopita.
Alisisitiza kuwa maonyesho ya moja kwa moja jukwaani ndiyo chanzo kikuu cha mapato kwa wanamuziki.