Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Uteuzi huo ulitangazwa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres, huku Kimani akichukua wadhifa ulioshikiliwa na Ama Akyaa Pobee wa Ghana.
Takwimu za Wizara ya Uchukuzi Afrika Kusini, zinadokeza kuwa watu 11,500 walifariki kwenye ajali za barabarani mwaka 2025.
Alizaliwa katika familia ya Kiislamu na alipigwa akiwa mtoto baada ya kwenda kanisani.