Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Katibu katika Idara ya Afya ya Umma Mary Muthoni, amesema serikali inahakikisha taratibu zote za kuwachunguza wasafiri mipakani zinafuatiliwa kikamilifu. Akizungumza Jumamosi alipozuru kituo cha mpakani cha Busia kukadiria mifumo…
Wilaya ya Ituri ambayo ndiyo kitovu cha mlipuko wa ugonjwa wa Ebola, sasa ina Gavana mpya huku juhudi zikiimarishwa kukabiliana na ugonjwa huo hatari. Rais wa taifa hilo Felix Tshisekedi, amemteua Meja Jenerali Kasongo Mulumba Batoka Gaby kuwa Gavana mpya…
Wimbo wa Dai Dai, unalanga kuchangisha dola laki moja za Marekani sawa na Shilingi bilioni 12.9 za Kenya, kugharamia masomo ya watoto na mafunzo ya soka kwa watoto kote duniani.