Habari za Kimataifa

Chad kulipiza kisasi dhidi ya shambulizi la Sudan

Chad imesema italipiza kisasi baada ya Sudan kutumia ndege zisizo na rubani kufanya shambulizi na kusababisha vifo vya watu 17 na wengine kadhaa kujeruhiwa. Rais wa Chad Mahamat Idriss Deby, akiwa amevalia sare za kijeshi aliitisha mkutano wa Baraza la…

Burudani

Welcome to the official KBC Swahili

Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.

Kenzo afurahikia sheria mpya ya hakimiliki

Bunge la Uganda lilipitisha mswada wa marekebisho ya sheria kuhusu hakimiliki na haki husika wa mwaka 2025.

Serikali yatangaza bei ya mbegu za mahindi

Wakulima wana kila sababu ya kutabasamu baada ya serikali kutangaza bei za mbegu za mahindi kwa mwaka 2025/2026.  Katibu katika Wizara ya Kilimo Dkt. Kipronoh Ronoh anasema serikali imetenga shilingi…