Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Mwaura alisema mfumo wa G2G umeimarisha ubadilishanaji wa fedha za kigeni, na kuleta mipangilio bora kwa usambazaji wa mafuta wa Kenya.
Iwapo mahakama itashikilia kifungo hicho, Malema atapigwa marufuku kuwa mbunge kwa muda wa miaka mitano.
Raia wa kigeni watatakiwa kulipa Dola 200 kwa muda wote wa tamasha huku wenyeji wakilipa shilingi 1500 kwa siku na shilingi 3000 kwa siku zote tatu