Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Serikali imetoa wito kwa Idara ya Mahakama kuondoa agizo ambalo lilisimamisha utumizi wa mikakati iliyobuniwa ya kukabiliana na ajali za barabarani hapa nchini. Mwezi uliopita, serikali ilibuni mikakati ya utumizi…
Inatarajiwa kuwasilisha ripoti yake kwa Rais Samia Suluhu Hassan Aprili 24, 2026.
Wazazi wake walisubiri mahari muda mrefu akaamua kujitolea
Kampuni ya Kenya Pipeline imemteua Pius Mwendwa kuwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wake kufuatia kukamatwa kwa Mkurugenzi Mkuu Joe Sang. Sang alikuwa miongoni mwa Maafisa watatu Wakuu serikali waliokamatwa baada ya…