Habari za Kimataifa

Marekani yatoa ilani ya saa 48 kwa Iran kusaini mkataba wa kusitisha  vita

Marekani imetoa ilani ya saa 48  kwa Iran, kusitisha vita na kusaini mwafaka wa kusitisha vota la sivyo ishambuliwe  vilivyo. Rais Donald Trump amesema kuwa muda unayoyoma kwa Iran kusalimu amri la sivyo ataikabili vikali. Wakati uo huo Marekani imesema…

Burudani

Welcome to the official KBC Swahili

Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.

Mike Sonko aondokea biashara ya pombe

Gavana wa zamani wa kaunti ya Nairobi Mike Sonko ametangaza kwamba ameondokea biashara ya pombe kabisa, ikizingatiwa kwamba alichagua kuacha kutumia pombe na kusonga karibu na Mungu. Alikuwa akizungumza alipozuru…

Mapato kutokana na mauzo ya Majani Chai yaongezeka

Mapato kutokana na mauzo ya Majani Chai nje ya nchi,yameongezeka hadi shilingi bilioni 186.9, hatua ambayo imesababishwa na ongezeko la hitaji la bidhaa hiyo katika soko la kimataifa. Takwimu za…