Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Jumla ya vituo 94 vya kupigia kura vimetengwa katika maeneo mbalimbali, huku kituo kikuu cha ujumuishaji kikiwa Emurua Dikirr Technical Training .
Rais wa Marekani Donald Trump, amewasili Jijini Beijing Jumatano jioni kwa ziara ya kiserikali nchini China. Hii ni ziara yake ya kwanza nchini China katika muda wa miaka tisa, na ya pili tangu mwaka 2017. Ndege ya Air Force One…
Aliandaa tamasha na wasanii alioalika kutumbuiza wakakosa kuhudhuria.