Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Rais William Ruto amewataka mabalozi wanaohudumu humu nchini kuinadi Kenya vyema, hususan hatua zilizopigwa kiuchumi. Rais amesisitiza kuwa uchumi thabiti ni kigezo muhimu kwa wawekezaji wa kimataifa humu nchini. Aliyasema…
Saudi Arabia imesema imeangusha droni mbili katika mji mkuu wa Riyadh mapema Ijumaa. Wizara ya ulinzi nchini Saudi Arabia imesema jeshi lake la anga lilitungua na kuharibu droni mbili zilizokuwa zikielekea Riyadh. Lilikuwa shambulizi la pili chini ya lisaa limoja…
Anadaiwa kumnyanyasa kingono Donna Motsinger, baada ya kumpa divai na vidonge mwaka 1972.
Okulo anamrithi Chege Thumbi, atakayestaafu Juni 30, baada ya kuwa usukani kwa miaka tisa.