Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Murkomen alipongeza Huduma ya Taifa ya Ujasusi (NIS) na Huduma ya Taifa ya Polisi (NPS), kwa ufanisi huo.
Waathiriwa hao waliokolewa kutoka mbuga ya kitaifa ya Kainji katika jimbo la Niger kwenye oparesheni iliyohusisha jeshi,polisi na maafisa wa ujasusi.
Anafuatiwa na kundi la Sauti Sol milioni 448, huku Willy Pozee au Willy Paula akiwa nambari 3 na mitazamo milioni 400.