Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Katika siku za hivi karibuni, wahuni wameibuka kuwa kero katika maeneo mbalimbali nchini na serikali imetakiwa kuwatokomeza kabla ya maji kuzidi unga.
Kulingana na katiba ya Zambia, ili kutangazwa Rais, ni sharti mgombea apate asilimia 50 ya kura zote ili kuepuka raundi ya pili ya upigaji kura.
Anakabiliwa na shtaka moja la shambulio la nyumbani.