Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Hata hivyo, ilikuwa afueni ndogo baada ya Mahakama kumpa Gachagua ridhaa ya shilingi milioni 50 kufuatia kukiukwa kwa haki zake wakati wa mchakato wa kumuengua afisini.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Dkt. Tedros Adhanom Ghebreyesus amewasili Uganda huku mamlaka ikiongeza juhudi za kudhibiti mlipuko wa Ebola unaohusishwa na nchi jirani ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC). Uganda imethibitisha visa vinavyohusishwa na maambukizi…
Omondi alishinda korokoroni wikendi iliyopita baada ya kukamatwa kwake.