Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Messi amepachika mabao 5,akifuatwa na Vinicius Junior wa Brazil,Kylian Mbappe wa Ufaransa na Erling Halaand wa Norway, kwa magoli manne kila mmoja.
Rais wa China Xi Jinping ametoa wito wa hatua thabiti kuchukuliwa ili kuendeleza kilimo cha kisasa na maeneo ya vijijini. Rais Xi aliyasema hayo wakati wa ziara ya ukaguzi mjini Dezhou, mkoa wa Shandong, mashariki mwa China. Amesema juhudi zinapaswa…
Wakati wageni walipokusanyika katika kanisa jijini Ibadan kusini-magharibi mwa Nigeria mwishoni mwa wiki, walijua walikuwa wakishuhudia tukio la kipekee. Ndugu pacha wawili wa kiume, Taiwo na Kehinde Oguntoye, walifunga ndoa…