Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Kenya imeungana na dunia leo Aprili 25,2026 kuadhimisha siku ya Malaria duniani, huku miito ikitolewa ya kuangamiza ugonjwa huo duniani. Maadhimisho hayo yanajiri huku taifa hilo la Afrika ya Mashariki…
Mwanamke raia wa Canada ameuawa, huku watu wengine kadhaa wakijeruhiwa baada ya mwanaume aliyekuwa amejihami kufyatua risasi kiholela katika kituo cha kitalii huko Mexico, hayo ni kulingana na maafisa wa serikali wa Mexico. Tukio hilo lilijiri katika eneo la utafiti…
Blessing Angel Atuhaire alinaswa kwenye video akiendesha baiskeli akiwa amevaa sare kamili ya shule, mkoba mgongoni huku mvua ikinyesha.