Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Waziri amesema kampuni mbili zilizotuma maombi ni China Road and Bridge Corporation (CRBC) na Sinohdro na kwamba mchakato wa kutoa zabuni utamalizika kufikia wiki ijayo.
Serikali ya Equatorial Guinea imejiuzulu baada ya kushindwa kutimiza malengo yake.
Oliver alikuwa miongoni mwa watu sita waliofariki baada ya helikopta mbili kugongana zikiwa angani.