Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Mwaniaji wa upinzani wa chama cha DCP Sammy Ngotho, anaongoza katika vituo vingi vya ujumuishaji kura .
Mgonjwa wa mwisho wa Ebola nchini Uganda ameruhusiwa kutoka hospitalini baada ya kupona kabisa katika Hospitali ya Kitaifa ya Rufaa. Waziri wa Afya, Dkt. Chris Baryomunsi, alimkabidhi cheti cha kuruhusiwa kutoka hospitalini, akielezea kupona kwake kama hatua muhimu katika juhudi…
Kundi hilo lilipata fursa ya kipekee na mwanamuziki mashuhuri duniani, Shakira katika jukwaa moja nchini Marekani.