Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Maafisa wa polisi wamepata bunduki aina ya M16, inayoaminika kutekeleza mauaji manne tofauti katika kaunti ya Isiolo na kauti jirani ya Meru Bunduki hiyo iliyokuwa na risasi 15, ilipatikana katika…
Tetemeko hilo lilisababisha wanavijiji 2,000 katika eneo la Nagekeo regency, kuhama makwao kutafuta makazi ya muda.
Alisema baadhi ya wanafunzi waliotumbuiza jukwaani katika tamasha ya taifa ya muziki wanaweza kupeleka sanaa ya Kenya kwa hadhira ya kimataifa,