Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Bingwa wa Olimpiki na Dunia Emmanuel Wanyonyi, alishinda mita 800 ambazo hazikuwa za kuwania pointi,kwa kuweka muda bora wa dakika 1 sekunde 41.76
Kwenye mabadiliko hayo Rais Samia aliwahamisha Wakuu wa mikoa sita.
Hafla hiyo itaandaliwa Jumapili hii inayokuja katika ukumbi wa BK Arena, jijini Kigali.