Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Polisi walilazimika kurusha vitoza machozi ili kuwatawanya wahuni hao waliokuwa wakivamia mkutano huo.
Marufuku hiyo inajumuisha mikutano kupitia mtandaoni, ikijiri baada ya miezi kadhaa ya mashambulizi dhidi ya raia wa kigeni nchini Afrika Kusini,
Amependekeza suluhu za vitendo zitakazowasaidia wakimbizi walioathiriwa kufuata sheria