Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Duale alisema kupitia mfumo wa Taifa Care, serikali imehakikisha Wakenya wanapata huduma za afya za ubora wa hali ya juu, bila kujali mapato yao, maeneo wanakoishi au hali zao za…
Kulingana na Huduma ya Jiolojia ya Colombia, tetemeko hilo la kipimo cha 7.4, ndilo lenye nguvu zaidi kutokea nchini humo karne hii.
Amewataka abiria kuacha ukosoaji wa jumla na badala yake kubainisha maeneo makhususi wanakokumbana na changamoto.