Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Cherotich pia alishinda mbio za mita 3,000 kuruka viunzi na maji akizioparakasa kwa muda wa dakika 8 sekunde 51.61,akiweka pia rekodi moya ya mashindano.
Mfalme Oyo aliyefariki kutokana na saratani akiwa na umri wa miaka 35, atazikwa Septemba 12.
yalilenga kuboresha ujuzi wao na kuhamasisha uwasilishaji wa vichekesho kwa njia ya kitaalamu zaidi.