Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Mudavadi alisema hayo katika kikao cha 26 cha Dharura cha Baraza la Utendaji la Umoja wa Afrika, AU, jijini Luanda, nchini Angola.
Vifo vilivyotokana na mafuriko ya wiki jana nchini Nepal, na eneo la Tibet nchini Uchina, vimepanda na kufikia 800, huku zaidi ya watu 3,000 wakiwa hawajulikani waliko.
Amekosoa hulka ya watu kuomboleza kwa huzuni kubwa mtu akifariki, ilhali alipokuwa hai walimpuuza, kumdharau au hata kufurahia matatizo yake