Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Rais Ruto alidokeza kuwa taifa hili limepiga hatua kubwa kimaendeleo kutokana na maamuzi dhabiti aliyochukua.
Rezaei anachukuwa nafasi ya Bagher Zolghadr, ambaye alishikilia wadhifa huo kwa muda wa miezi michache, baada ya mtangulizi wake Ali Larijani, kuuawa kwenye shambulizi la ndege mwezi Machi.
Alipata pia nafasi ya kuimba pamoja na kundi lake la zamani la East Coast Team.