Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Viongozi wa mashtaka ya umma kutoka pembe zote za nchi, walishiriki mafunzo ya wiki moja kuhusu kutambua ufadhili wa ugaidi, uchunguzi na mbinu bora za kuendesha mashtaka mahakamani.
Biya amekuwa mamlakani tangu mwaka 1982 na alishinda muhula wa nane afisini kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka uliopita.
Hatua hii inafuatia ukosoaji wa Waziri Mkuu wa Uingereza Keir Starmer.
Kampuni ya Kenya Pipeline imemteua Pius Mwendwa kuwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wake kufuatia kukamatwa kwa Mkurugenzi Mkuu Joe Sang. Sang alikuwa miongoni mwa Maafisa watatu Wakuu serikali waliokamatwa baada ya…