Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Kenya inakabiliwa na uhaba wa mahindi kutokana na uzalishaji mdogo wa zao hilo msimu huu, hususan kutokana na ukame ulioshuhudiwa nchini, miongoni mwa mambo mengine.
Waandamanaji ambao waliteketeza magurudumu na kufunga barabara katika mji mkuu wa nchi hiyo, Banjul siku za Jumatatu na Jumanne, wanashinikiza kujiuzulu kwa Rais Barrow.
Waombaji wanashauriwa kupitia tangazo kamili la umma na kuhakikisha maombi yao yanakidhi mahitaji yote .