Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Makala ya kwanza ya mashindano mapya ya Riadha duniani ya Ultimate Championship, yataanza leo Ijumaa Septemba 11 na kukamilika Jumapili hii mjini Budapest,Hungary.
Kundi la Islamic Revolutionary Guard Corps (IRGC) nchini Iran limekiri kulipua meli moja ya wanajeshi wa Marekani ambayo haikuwa na silaha katika mlango wa bahari wa Hormuz. Kituo cha shirika la Uingereza la wanabiashara wa baharini limethibitisha kuwa limepokea taarifa…
Amependekeza suluhu za vitendo zitakazowasaidia wakimbizi walioathiriwa kufuata sheria