Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Omtatah anataka Mahakama iharamishe na kufutilia mbali kituo cha kitaifa cha kujumuisha matokeo ya kura za Urais.
Msururu huo wa mauaji ya wanawake umeibua wasiwasi kwa umma, kitendawili kikiwa iwapo yanatekelezwa na muuaji mmoja.
King Kinya atazikwa kesho Ijumaa Septemba 18,2026 saa 10 jioni katika makaburi ya Mwananyamala, Dar es Salaam.