Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Kulingana na idara ya Utabiri wa hali ya hewa nchini nyumba hizo zilizo katika maeneo yapatayo 246 huenda zikaathiriwa na mafuriko.
Anasema Rais Trump amesitisha tu kwa muda mpango ambao watetezi wa haki za binadamu wanasema unalenga kusafisha eneo hilo kikabila.
yalilenga kuboresha ujuzi wao na kuhamasisha uwasilishaji wa vichekesho kwa njia ya kitaalamu zaidi.