Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Spika huyo wa Bunge la Taifa amelalamika kuwa uagizaji wa sukari kinyume cha sheria unaendelea kuvuruga juhudi za kufufua viwanda vya sukari nchini.
Mfalme Oyo aliyefariki kutokana na saratani akiwa na umri wa miaka 35, atazikwa Septemba 12.
yalilenga kuboresha ujuzi wao na kuhamasisha uwasilishaji wa vichekesho kwa njia ya kitaalamu zaidi.