Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Waziri Mkuu wa Ethiopia, Abiy Ahmed, amekutana na Kamati ya Kitaifa ya Uratibu ikiwa ni maandalizi ya Mkutano wa 32 wa Wanachama (COP32) utakaofanyika jijini Addis Ababa mnamo Novemba 2027.…