Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Katibu wa Afya ya Umma Mary Muthoni, amechaguliwa mwenyekiti wa Makatibu wa Afya barani Afrika kwenye mkutano ulioandaliwa Jijini Brazzaville, nchini Congo. Uchaguzi huo ni hatua kubwa katika kuimarisha ushirikishi…