Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Kamanda wa Polisi katika kaunti ya Mombasa Stella Jerono amethibitisha kisa cha ufyatuaji risasi kilichohusisha mlinzi wa Gavana wa Mombasa Abdullswamad Sherrif Nassir na vijana. Kisa hicho kilitokea leo Ijumaa…