Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Watu 355 wamekamatwa kote nchini Kenya kwenye maandamano yaliyoandaliwa kuwakumbuka vijana wa Gen-Z waliofariki mwaka 2024. Waziri wa Usalama wa Taifa Kipchumba Murkomen kwenye mkutano na wanahabari Jijini Nairobi, alisema…