Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Waziri wa Afya Aden Duale amemuomboleza Dkt. Job Obwaka aliyefariki Ijumaa akiwa na umri wa 83. Kupitia kwa taarifa, Duale alidokeza kuwa Dkt. Obwaka alijitolea kujimarisha katika taaluma ya afya…