Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema kuwa Marekani inaendelea kufanya mazungumzo na Iran, lakini amesisitiza kuwa usitishaji wa mapigano umefikia mwisho. Kupitia ujumbe aliouchapisha kwenye mitandao ya kijamii, Trump alisema:…