Magari ya usafiri wa umma ya chama cha Nicco Movers Matatu Sacco, yameruhusiwa kurejelea uchukuzi jijini Nairobi baada ya Mahakama kuondoa marufuku iliyokuwa imewekea chama hicho.
Ilikuwa mapema wiki hii ambapo matatu 159 za chama hicho zinazohudumu katika barabara kuu ya Thika .
Matatu hizo zilipigwa marufuku kubeba abiria jijini Nairobi kufuatia kisa cha Juni 5, mwaka huu ambapo abiria mmoja alianguka kutoka kwa mojawapo wa mabasi hayo.
Kesi hiyo itaskizwa Septemba 21.