Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Wizara ya Afya imethibitisha kuwa wasafiri 3,969 wamechunguzwa katika muda wa saa 24 zilizopita.
Kulingana na mamlaka, watu hao walikuwa kwenye Kundi lililokuwa likirejea kutoka Mali baada ya kuhudhuria sikukuu ya Kiislamu.
Wimbo wa Dai Dai, unalanga kuchangisha dola laki moja za Marekani sawa na Shilingi bilioni 12.9 za Kenya, kugharamia masomo ya watoto na mafunzo ya soka kwa watoto kote duniani.