Habari za Kimataifa

Watu 60 wauawa katika shambulizi la ndege zisizo na rubani Sudan

Takriban watu 60 wameuawa katika shambulizi la ndege zisizo na rubani katika eneo la watu waliokimbia makazi yao huko El-Fasher, mji uliozingirwa na uliokaribu kuporomoka nchini Sudan. Kamati ya upinzani ya El-Fasher, inayoundwa na raia na wanaharakati wa eneo hilo,…

Burudani

Welcome to the official KBC Swahili

Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.

Cardi B akubali mpango wa kushangaza wa kuachana na Offset

Mwanamuziki wa mtindo wa rap nchini Marekani Cardi B anaripotiwa kukubali mpango wa kushangaza wa kugawana mali anapotafuta kuachana na baba ya watoto wake na mwanamuziki mwenza Offset. Ripoti zinaashiria…