Habari za Kimataifa

AU kupeleka jopo la washauri kukabiliana na ukosefu wa usalama nchini Sudan Kusini

Umoja wa Afrika (AU) unapanga kupeleka ujumbe wa ngazi ya juu wa jopo la washauri mjini Juba, mji mkuu wa Sudan Kusini, kushughulikia mgogoro unaoendelea nchini humo na kusababisha ukosefu wa usalama. Taarifa iliyotolewa na AU imesema, jopo hilo litafanya…

Burudani

Welcome to the official KBC Swahili

Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.

Benki ya Equity yanakili faida ya Shilingi Bilioni 48.8

Benki ya Equity imetangaza faida ya shilingi bilioni 48.8, katika Kipindi kilichokamilika Mwezi Disemba mwaka 2024. Faida hiyo ilinakiliwa katika kile kilichotajwa na benki hiyo kuwa riba ya juu ya…