Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Rais William Ruto jana Jumanne jioni aliongoza mkutano wa wapatinishi wa kuleta amani Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC). Wapatanishi hao walichaguliwa chini ya mchakato wa amani wa…
Umoja wa Afrika (AU) unapanga kupeleka ujumbe wa ngazi ya juu wa jopo la washauri mjini Juba, mji mkuu wa Sudan Kusini, kushughulikia mgogoro unaoendelea nchini humo na kusababisha ukosefu wa usalama. Taarifa iliyotolewa na AU imesema, jopo hilo litafanya…
Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Benki ya Equity imetangaza faida ya shilingi bilioni 48.8, katika Kipindi kilichokamilika Mwezi Disemba mwaka 2024. Faida hiyo ilinakiliwa katika kile kilichotajwa na benki hiyo kuwa riba ya juu ya…