Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Hii ni sehemu ya mageuzi katika idara ya mahakama nchini yanayolenga kuboresha utoaji huduma.
Takriban watu 60 wameuawa katika shambulizi la ndege zisizo na rubani katika eneo la watu waliokimbia makazi yao huko El-Fasher, mji uliozingirwa na uliokaribu kuporomoka nchini Sudan. Kamati ya upinzani ya El-Fasher, inayoundwa na raia na wanaharakati wa eneo hilo,…
Mwanamuziki wa mtindo wa rap nchini Marekani Cardi B anaripotiwa kukubali mpango wa kushangaza wa kugawana mali anapotafuta kuachana na baba ya watoto wake na mwanamuziki mwenza Offset. Ripoti zinaashiria…
Ruto anatarajiwa kukabidhiwa rasmi uenyekiti wa COMESA kutoka kwa Rais wa Burundi Everest Ndayishimiye.