Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Wakulima wa Majani Chai hapa nchini, wanatarajia mapato yaliyoimarika baada ya hatua ya serikali ya kuwekeza shilingi bilioni 3.5 kuimarisha viwanda vya Majani Chai kufikia viwango vya kimataifa. Akizungumza katika…