Rais Ruto apokea Kombe la Ligi Kuu Uingereza Ikuluni Nairobi

Dismas Otuke
0 Min Read

Rais William Ruto Ijumaa adhuhuri amelipokea Kombe la Liga Kuu Uingereza katika Ikulu ya Nairobi.

Ruto amekariri kujitolea kwa serikali kukuza vipaji vya soka humu nchini kwa mamilioni ya vijana .

Kombe Hilo ambalo kwa sasa linashikiliwa na klabu ya  Liverpool limo kwenye ziara inayofadhiliwa Na kampuni ya East African Breweries, kupitia kileo cha Guiness.

Website |  + posts
Share This Article