Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Tume ya Maadili na Vita dhidi ya Ufisadi (EACC), imewakamata Maafisa wawili Wakuu wa Polisi kwa madai ya kuitisha hongo kutoka kwa wananchi. Wawili hao walikamatwa baada ya malalamishi kuwasilishwa…