Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Mrakibu wa eneo la Kaskazini Mashariki John Otieno, amewaagiza maafisa wa usalama kukabiliana vilivyo na magenge ya wahalifu mjini Garissa, kufuatia ongezeko la mashambulizi yanayohusishwa na vijana waliojihami kwa visu.…