Rais Samia azindua meli ya kwanza ya uvuvi wa bahari kuu

Dismas Otuke
0 Min Read

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan  mapema Jumamosi amezindua  meli ya kwanza ya uvuvi wa bahari kuu.

Hafla ilifanyika katika makao makuu ya Shirika la Uvuvi Tanzania (TAFICO) Kigamboni Jijini Dar es Salaam .

Meli hiyo itafanikisha shughuli za uvuvi  nchini humo ambayo ni mojawapo wa vitega uchumi wa nchi.

Share This Article