Rais Ruto akutuna na Rais wa Italia Sergio Mattarella mjini Rome

Akiwa Italia Ruto anatarajiwa kusaini mikataba kadhaa ya ushirikiano baina ya Kenya na Italia.

Dismas Otuke
0 Min Read

Rais William Ruto wa Kenya siku ya Jumatatu amekutana na mwenyeji wake  Rais Sergio Mattarella  wa Italia mjini Rome.

Ruto amewasili Italia mapema leo  kwa ziara rasmi ya kiserikali ya siku tatu.

Awali Rais aliweka shada la maua katika kaburi la  wanajeshi waliouawa la Piazza  mjini Venezia.

Akiwa Italia Ruto anatarajiwa kusaini mikataba kadhaa ya ushirikiano baina ya Kenya na Italia.

Share This Article