Mtangazaji soka Diblo Kaberia afariki

Kaberia alikuwa wanachama wa chama cha waandishi habari za michezo nchini Kenya (SJAK).

Dismas Otuke
0 Min Read

Mtangazaji nguli wa soka Diblo Kaberia, ameaga dunia mapema Jumapili baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Hadi kifi chake Kaberia alikuwa mtangazaji soka katika idhaa ya Radio Jambo kwa zaidi ya miaka 10.

Marehemu alikuwa akipokea matibabu katika hospitali ya Ruaraka Uhai Neema, kaunti ya Nairobi na alikuwa afanyiwe upasuaji.

Kaberia alikuwa wanachama wa chama cha waandishi habari za michezo nchini Kenya (SJAK).

Share This Article