Matukio ya Taifa: Wakazi wanaoishi nyanda za chini Lamu watakiwa kuhama kuepuka mafuriko

radiotaifa
0 Min Read

Huku mvua ya elinino ikizidi kunyesha sehemu mbali mbali hapa inchini, Wakaazi wa Lamu wanaoishi maeneo nyanda za chini na mabondeni wametakiwa kuhamia maeneo ya juu ili kuepuka kusombwa na mafuriko.

https://art19.com/shows/matukio-ya-taifa/episodes/5987beac-e619-4843-bd48-f2924688b4ce

nduguseliphaz@gmail.com | Website |  + posts
Share This Article