Idadi ya waliongamia kwa mafuriko,Texas,yafikia 59

Watu wengine 850 waliokolewa wengi wao  wakiwa wamejishikilia kwenye miti.

Dismas Otuke
0 Min Read

Idadi ya walioangamia huko Texas Marekani kutokana na mafuriko ya Ijumaa, imefikia  watu 59 wakiwemo 21.

Mafuriko zaidi yameshuhudiwa mapema Jummosi baada ya mto Guadalupe, kuvunja kingo zake.

Watu wengine 850 waliokolewa wengi wao  wakiwa wamejishikilia kwenye miti.

Wasichana 11 kati 700 waliokuwa katika kambi ya kanisa wangali hawajulikani walilo baada ya mafuriko kusomba jumba walimokuwa.

Website |  + posts
Share This Article