Klabu ya KCB imeilkaza ARS kutoka Ushelisheli seti tatu kwa nunge katika mchuano kuwania kombe la Afrika kwa wanawake jijini Cairo,Misri.
KCB walipata ushindi kwa seti za 25-9, 25-14, na 25-17 .
Ushindi huo ulikuwa wa pili kwa KCB kundini D, baada ya awali kuilemea VPC kutoka Nigeria jana.