Klabu ya Kenya Pipeline ilisajili ushindi wa tatu,katika mashindano ya ubingwa wa Afrika yanayoendelea jijini Cairo Misri baada ya kuizabua VC la Eloi ya Jamhuri ya Demokrasia ya Congo seti 3-0 jana .
Pipeline walipata ushindi wa 25-12,25-12 na 25-17.
Awali Jumanne KPC waliibwaga Gender Light Club kutoka Burundi seti zizo hizo 3-0.
Kenya pia inawakilishwa na KCB na DCI katika mashindano hayo.