Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Maafisa wa polisi wamewakamata washukiwa watano wanaoaminika kuhusika na wizi wa magari na mifugo katika kaunti za Kirinyaga, Nyeri, na Murang’a. Polisi walitekeleza operesheni ya kijasusi baada ya habari kutolewa…