Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Mwenyekiti mpya wa Tume ya Kitaifa ya Uwiano na Utangamano (NCIC) Dkt. Kepha Omae amekula kiapo cha utendaji kazi leo Jumatano asubuhi. Dkt. Omae aliapishwa pamoja na makamishna wengine saba…