Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Gavana wa Kaunti ya Kwale Fatuma Achani, amezindua ugavi wa miche ya matunda 33,000 ya miembe,michungwa, mikorosho na minazi kwa wakulima 5,000 wa Kaunti hiyo. Kufikia sasa Serikali ya Kaunti…