Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Taarifa ya Sayyid Abdalla Serikali kuheshimu uamuzi wa mahakama na kuwaajiri rasmi walimu wanagenzi mbali na kuwaongezea mishahara ili kujimudu kama wafanyakazi wa serikali. Wito huo umetolewa na Chama cha…