Sunday, 30 Aug 2026

Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.

 
Explore Now
KBC Swahili
  • Habari
  • Biashara
  • Burudani
  • Michezo
  • Kimataifa
    • Habari Kuu
  • Back to KBC
  • Kimataifa
  • Habari Kuu
  • Michezo
  • Burudani
  • Biashara
  • Habari
  • FIFA WORLD CUP 2026
  • Makala
  • WAFCON 2026
KBC SwahiliKBC Swahili
Font ResizerAa
  • Habari
  • Biashara
  • Burudani
  • Michezo
  • Kimataifa
  • Back to KBC
Search
  • Habari
  • Biashara
  • Burudani
  • Michezo
  • Kimataifa
    • Habari Kuu
  • Back to KBC
Have an existing account? Sign In
Follow US
© 2022 Foxiz News Network. Ruby Design Company. All Rights Reserved.
Home Blog Nembo ya Twitter kubadilika
Kimataifa

Nembo ya Twitter kubadilika

Marion Bosire
July 23, 2023 7:40 am
By Marion Bosire
Share
2 Min Read
SHARE

Mmiliki wa mtandao wa kijamii wa Twitter Elon Musk amesema atabadili nembo ya mtandao huo. Aliandika kwenye ukurasa wake wa mtandao huo huo kwamba hivi karibuni tutapigia kwaheri nembo ya mtandao huo ambayo ni ndege.

Musk alibadilisha jina la kampuni inayomiliki Twitter na kuiita “X Corp” na alichapisha video fupi inayoonyesha nembo ya herufi “X”.

Aliendelea kusema kwamba iwapo wangechapisha nembo nzuri kabisa ya heruf hiyo basi ingeanza kutumika kote ulimwengini mara moja.

Elon alithibitisha mipango ya kubadilisha nembo ya Twitter kwenye mkutano mmoja uliokuwa ukifanyika kwenye jukwaa la mtandao huo almaarufu “Twitter Spaces” ambapo alijibu “ndio” alipoulizwa iwapo nembo ya Twitter itabadilika.

Mwezi Aprili mwaka huu, nembo ya Twitter ilibadilika kwa muda mfupi na kuwa ya mbwa.

Twitter imekuwa ikisuasua tangu Musk alipoinunua mwezi Oktoba mwaka jana na amekuwa akikashifiwa na watumizi na wataalamu kwa mabadiliko ambayo amekuwa akitekeleza.

Wanjiku Wakogi ateuliwa mkuu wa wafanyakazi katika afisi ya naibu Rais
Kenya kuandaa kongamano la uwekezaji na wafanyabiashara kutoka Misri
Hatma ya Rais wa Iran Raeisi haijulikani baada ya ndege yake kuanguka
Kaunti ya Nyandarua yatumai kupata idhini ya kuanzisha taasisi ya elimu ya juu

Alianzisha mchakato wa watumizi kulipia uthibitisho wa kurasa zao na baadaye akaweka kiwango cha jumbe ambazo kila mtumizi anaweza kufikia na kusoma kwa siku.

Misukosuko ya Twitter ilisababisha kukua kwa mtandao pinzani unaomilikiwa na kampuni ya Meta uitwao “Threads” ambao ulijipatia watumizi milioni 100 katika siku tano za kwanza baada ya kuzinduliwa.

Matatizo ya Twitter yanazidi kuongezeka la hivi punde zaidi likiwa kesi dhidi yake kuhusu kutolipa waliokuwa wafanyikazi wake, malipo ya kuwastaafisha.

TAGGED:Elon MuskMetaThreadsTwitter LogoX Corp
Share This Article
Email Copy Link Print
Previous Article Wakfu wa KEPSA, Mama Doing Good zaingia kwenye mapatano
Next Article Watu 15 kusailiwa kwa wadhifa wa Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma

You May also Like

Kimataifa

Melbourne calling: Three reasons why you should visit it

June 3, 2024
Kimataifa

Idadi ya waliofariki kwenye ajali ya Kakamega yafika 13

November 14, 2024
Kimataifa

Maafisa wa usalama watambua makaburi zaidi Shakahola

July 11, 2023
Picha kwa hisani ya Nation Media Group
Kimataifa

Serikali yasema Worldcoin haijasajiliwa nchini Kenya

August 3, 2023
Show More
  • More News:
  • Kenya
  • William Ruto
  • Tanzania
  • CAF
  • Uganda
  • President William Ruto
  • FIFA
  • DCI
  • FKF
  • Rais William Ruto
  • USA
  • Israel
  • Nigeria
  • DRC
  • Musalia Mudavadi
  • EACC
  • Raila Odinga
  • Rigathi Gachagua
  • Morocco
  • IEBC
KBC Swahili

Information You Can Trust: Stay instantly connected with breaking stories and live updates. From politics and technology to entertainment and beyond, we provide real-time coverage you can rely on, making us your dependable source for 24/7 news.

Youtube Medium Rss

About Company

  • Contact Us
  • Advertise with US
  • Complaint
  • Privacy Policy
  • Cookie Policy
  • Submit a Tip

Real-time Updates on the Latest Stories!

© Kbc Swahili.  All Rights Reserved. 2025

Welcome to Foxiz
Username or Email Address
Password

Lost your password?