Thursday, 16 Jul 2026

Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.

 
Explore Now
KBC Swahili
  • Habari
  • Biashara
  • Burudani
  • Michezo
  • Kimataifa
    • Habari Kuu
  • Back to KBC
  • Kimataifa
  • Habari Kuu
  • Michezo
  • Burudani
  • Biashara
  • Habari
  • FIFA WORLD CUP 2026
  • Makala
KBC SwahiliKBC Swahili
Font ResizerAa
  • Habari
  • Biashara
  • Burudani
  • Michezo
  • Kimataifa
  • Back to KBC
Search
  • Habari
  • Biashara
  • Burudani
  • Michezo
  • Kimataifa
    • Habari Kuu
  • Back to KBC
Have an existing account? Sign In
Follow US
© 2022 Foxiz News Network. Ruby Design Company. All Rights Reserved.
Home Blog Nembo ya Twitter kubadilika
Kimataifa

Nembo ya Twitter kubadilika

Marion Bosire
July 23, 2023 7:40 am
By Marion Bosire
Share
2 Min Read
SHARE

Mmiliki wa mtandao wa kijamii wa Twitter Elon Musk amesema atabadili nembo ya mtandao huo. Aliandika kwenye ukurasa wake wa mtandao huo huo kwamba hivi karibuni tutapigia kwaheri nembo ya mtandao huo ambayo ni ndege.

Musk alibadilisha jina la kampuni inayomiliki Twitter na kuiita “X Corp” na alichapisha video fupi inayoonyesha nembo ya herufi “X”.

Aliendelea kusema kwamba iwapo wangechapisha nembo nzuri kabisa ya heruf hiyo basi ingeanza kutumika kote ulimwengini mara moja.

Elon alithibitisha mipango ya kubadilisha nembo ya Twitter kwenye mkutano mmoja uliokuwa ukifanyika kwenye jukwaa la mtandao huo almaarufu “Twitter Spaces” ambapo alijibu “ndio” alipoulizwa iwapo nembo ya Twitter itabadilika.

Mwezi Aprili mwaka huu, nembo ya Twitter ilibadilika kwa muda mfupi na kuwa ya mbwa.

Twitter imekuwa ikisuasua tangu Musk alipoinunua mwezi Oktoba mwaka jana na amekuwa akikashifiwa na watumizi na wataalamu kwa mabadiliko ambayo amekuwa akitekeleza.

Moto wateketeza nyumba huko Donholm Nairobi
Polisi wamsaka mshukiwa wa ubakaji na mauaji
Wakazi wa Rurii kaunti ya Nyandarua walalamikia ongezeko la matumizi ya pombe na mihadarati
Raundi ya kwanza ya utoaji chanjo ya polio yaanza, watoto milioni 1.8 walengwa

Alianzisha mchakato wa watumizi kulipia uthibitisho wa kurasa zao na baadaye akaweka kiwango cha jumbe ambazo kila mtumizi anaweza kufikia na kusoma kwa siku.

Misukosuko ya Twitter ilisababisha kukua kwa mtandao pinzani unaomilikiwa na kampuni ya Meta uitwao “Threads” ambao ulijipatia watumizi milioni 100 katika siku tano za kwanza baada ya kuzinduliwa.

Matatizo ya Twitter yanazidi kuongezeka la hivi punde zaidi likiwa kesi dhidi yake kuhusu kutolipa waliokuwa wafanyikazi wake, malipo ya kuwastaafisha.

TAGGED:Elon MuskMetaThreadsTwitter LogoX Corp
Share This Article
Email Copy Link Print
Previous Article Wakfu wa KEPSA, Mama Doing Good zaingia kwenye mapatano
Next Article Watu 15 kusailiwa kwa wadhifa wa Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma

You May also Like

Kimataifa

Kiongozi wa Korea Kaskazini asimamia jaribio jipya la kombora la ulinzi wa anga

August 25, 2025
Kimataifa

Tunalenga kupanda miche milioni 200 ya miti

May 10, 2024
Kimataifa

OCS wa Ruai akamatwa na EACC kwa kudai hongo kutokwa kwa watu waliokamatwa bila hatia

November 5, 2023
BurudaniKimataifa

Jowie azindua wimbo ‘Nakuabudu’ baada ya kupatikana na hatia ya kumuua Monicah Kimani

February 9, 2024
Show More
  • More News:
  • Kenya
  • William Ruto
  • CAF
  • Tanzania
  • President William Ruto
  • Uganda
  • FIFA
  • DCI
  • FKF
  • Rais William Ruto
  • USA
  • Israel
  • Nigeria
  • DRC
  • Raila Odinga
  • Musalia Mudavadi
  • EACC
  • Rigathi Gachagua
  • Morocco
  • IEBC
KBC Swahili

Information You Can Trust: Stay instantly connected with breaking stories and live updates. From politics and technology to entertainment and beyond, we provide real-time coverage you can rely on, making us your dependable source for 24/7 news.

Youtube Medium Rss

About Company

  • Contact Us
  • Advertise with US
  • Complaint
  • Privacy Policy
  • Cookie Policy
  • Submit a Tip

Real-time Updates on the Latest Stories!

© Kbc Swahili.  All Rights Reserved. 2025

Welcome to Foxiz
Username or Email Address
Password

Lost your password?