Matukio ya Taifa: Nia yangu ni kuleta mabadiliko ya kudumu asema Rais Ruto

radiotaifa
0 Min Read

Rais William Ruto amewahakikishia Wakenya mambo ya muda mrefu na mazuri zaidi akiangazia kwamba lengo la Serikali ni kubadilisha nchi kwa manufaa ya watu na kufanya vizazi vijavyo kustawi

https://art19.com/shows/matukio-ya-taifa/episodes/30537719-1977-4d10-a461-de24b32f861c

 

nduguseliphaz@gmail.com | Website |  + posts
Share This Article