M23 yajitolea kuhusika katika mazungumzo ya amani DRC

Dismas Otuke
0 Min Read

Kundi  la waasi la M23 limejitolea  kuhusika katika mazungumzo ya amani nchini DRC.

Akihutubia wanahabari mjini Goma, Kanali Corneile  Ngaa, kiongozi wa kundi la River Alliance linaloungwa mkono na kundi haramu la M23, walielezea haja ya pande zote kufuata mwafaka amani.

Tayari serikali ya DRC na M23 wameelezea matumaini ya kupata suluhu kupitia kuheshimu mwafaka wa amani wa Julai 19 mwaka huu.

Website |  + posts
TAGGED:
Share This Article