FIFA World Cup: Fahamu viwanja vitakavyoandaa mechi za Kombe la Dunia nchini Canada

Dismas Otuke
2 Min Read

Fainali za Kombe la Dunia za 23 zitaandaliwa kwa pamoja na mataifa ya Mexico, Canada na Mexico kuanzia Juni 11 na Julai 19.

Viwanja 16 vilivyo katika miji 16 tofauti vitaandaa mechi 104.

Canada itaandaa mechi katika miji ya Toronto na Vancouver kila mji ukiwa na uga mmoja.

Uga wa BC Place-Uga huu unapatikana katika eneo la British Columbia,mjini Vancouver, Canada na ulifunguliwa mwaka 1983.

Ulifanyiwa ukarabati mwaka 2011 na unaselehi mashabiki 54,000.

Mechi saba zitapigwa katika kiwara hiki zikiwa;

Australia v Turkey, 13 June

Canada v Qatar, 18 June

New Zealand v Egypt, 21 June

Switzerland v Canada, 24 June

New Zealand v Belgium, 26 June

Round of 32, 2 July (1B v 3EFGIJ)

Round of 16, 7 July (W85 v W87)

Uwanja huo uliandaa michezo ya Olimpiki ya majira ya baridi ya 2010, na una paa ambalo lawezafungwa au kufunguliwa kulingana na hali ya anga.

Uwanja wa BMO-Toronto

Ni uwanja ulio mjini Totoronto na unamudu mashabiki 45,000

Uwanja wa BMO ulifunguliwa mwaka 2007 kabla ya kufanyiwa ukarabati mwaka 2016

Uwanja huu utandaa mechi tano za makundi

Mechi za Kombe la Dunia zitakazochezwa katika uwanja wa BMO

Canada v Bosnia and Herzegovina, 12 June

Ghana v Panama, 17 June

Germany v Côte d’Ivoire, 20 June

Panama v Croatia, 23 June

Senegal v Iraq, 26 June

Round of 32, 2 July (2K v 2L)

 

Share This Article