Duale azindua mitambo ya kidijitali katika Hospitali za Garissa

Takriban huduma za afya 1,114  zinazotolewa katika hospitali za umma katika kaunti hiyo zitapatikana kwa njia ya kidijitali.

Dismas Otuke
1 Min Read
Waziri wa Afya  Aden Duale amezindua shughuli ya kuweka mitambo ya kidijitali katika hospitali zote za kuanti ya Garissa siku ya Ijumaa .
Takriban huduma za afya 1,114  zinazotolewa katika hospitali za umma katika kaunti hiyo zitapatikana kwa njia ya kidijitali.
Mfumo huo unalenga  kurahisha utoaji huduma  na uwekaji kumbukumbu.
Aidha Duale ametangaza kufunga kwa hospitali 875  ambazo zilikiuka  sheria za chama cha madatari wa meno na matabibu KMPDC hukumalipo ghushi ya malipo ya bima ya mataibabu iliyofungwa NHIF zikifutwa.
Website |  + posts
TAGGED:
Share This Article