Makala ya 24 ya mashindano ya Riadha barani Afrika, yameanza leo Jumanne katika Chuo Kikuu cha Accra nchini Ghana .
Kenya inawakilishwa na wanariadha 74 kwenye mashindano hayo yatakayokamilika Jumapili hii.
Kenya itakuwa ikilenga kuboresha matokeo ya mwaka 2024, mjini Doula,Cameroon, kwa medali 19,dhahabu 7 na shaba 7.