Tuesday, 28 Jul 2026

Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.

 
Explore Now
KBC Swahili
  • Habari
  • Biashara
  • Burudani
  • Michezo
  • Kimataifa
    • Habari Kuu
  • Back to KBC
  • Kimataifa
  • Habari Kuu
  • Michezo
  • Burudani
  • Biashara
  • Habari
  • FIFA WORLD CUP 2026
  • Makala
  • WAFCON 2026
KBC SwahiliKBC Swahili
Font ResizerAa
  • Habari
  • Biashara
  • Burudani
  • Michezo
  • Kimataifa
  • Back to KBC
Search
  • Habari
  • Biashara
  • Burudani
  • Michezo
  • Kimataifa
    • Habari Kuu
  • Back to KBC
Have an existing account? Sign In
Follow US
© 2022 Foxiz News Network. Ruby Design Company. All Rights Reserved.
Home Blog Dem wa Facebook arejelea soka
Burudani

Dem wa Facebook arejelea soka

Marion Bosire
November 24, 2024 9:45 am
By Marion Bosire
Share
1 Min Read
SHARE

Millicent Ayuwa maarufu kama Dem wa Facebook amerejelea fani yake ya awali ambayo ni kucheza soka.

Alitambulishwa rasmi kama mmoja wa wachezaji kwenye timu ya Bungoma Queens, walipokuwa wakicheza dhidi ya Zetech Sparks katika mechi ya ligi ya wanawake nchini.

Ayuwa na wenzake waliibuka washindi kwenye mechi hiyo katika uwanja wa michezo wa Dandora, kwa mabao matatu kwa moja.

Dem wa Facebook alihusishwa kama mchezaji wa akiba wa kipindi cha pili.

Kabla ya kuingilia shughuli za kuunda maudhui mitandaoni, Ayuwa aliichezea timu ya wanawake ya Trans-Nzoia Falcons kwa muda wa miaka mitano.

Mwaka 2018 timu hiyo ilishinda kinyang’anyiro cha Chapa Dimba na Safaricom.

Billnass amsifia mkewe Nandy
Tiwa Savage azungumzia video yake iliyovujishwa
Waisilamu wataka tamasha ya Nyege Nyege itupiliwe mbali
Ne-Yo asimulia kuhusu mahuasiano yake

Alipoulizwa kuhusu jinsi anapanga kusawazisha muda wake kati ya uandaaji wa maudhui mitandaoni na soka, Dem wa Facebook alijibu kijanja.

“Jinsi wanaume wanaweza kugawa muda wao kati ya wake zao na wanawake wa kando.” alisema Ayuwa huku akimtaka waziri wa michezo Kipchumba Murkomen ampe fursa.

Fursa hiyo ni katika kuwamotisha na kuwanoa makali wachezaji wanaoibuka chini ya mpango wa Talanta Hela.

TAGGED:Bungoma QueensDem wa FacebookMillicent AyuwaTrans Nzoia FalconsZetech Sparks
Share This Article
Email Copy Link Print
Previous Article Da Rest asajili kampuni yake ya kurekodi muziki na kusimamia wasanii
Next Article TP Mazembe watwaa taji ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa vidosho

You May also Like

Burudani

Meta yaunda mtandao sawia na Twitter

July 4, 2023
Burudani

Filamu ya Bobi Wine yakosa kushinda tuzo ya Oscar

March 11, 2024
BurudaniKimataifa

Trump kulipwa dola milioni 24.5 na YouTube

September 30, 2025
Burudani

Mcheshi Mzee Majuto akumbukwa Tanzania

February 23, 2025
Show More
  • More News:
  • Kenya
  • William Ruto
  • CAF
  • Tanzania
  • President William Ruto
  • Uganda
  • FIFA
  • DCI
  • FKF
  • Rais William Ruto
  • USA
  • Israel
  • Nigeria
  • DRC
  • Raila Odinga
  • EACC
  • Musalia Mudavadi
  • Rigathi Gachagua
  • Morocco
  • IEBC
KBC Swahili

Information You Can Trust: Stay instantly connected with breaking stories and live updates. From politics and technology to entertainment and beyond, we provide real-time coverage you can rely on, making us your dependable source for 24/7 news.

Youtube Medium Rss

About Company

  • Contact Us
  • Advertise with US
  • Complaint
  • Privacy Policy
  • Cookie Policy
  • Submit a Tip

Real-time Updates on the Latest Stories!

© Kbc Swahili.  All Rights Reserved. 2025

Welcome to Foxiz
Username or Email Address
Password

Lost your password?