Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Waziri wa Fedha John Mbadi ametangaza kuwa sekta ya Afya itapokea mgao wa shilingi bilioni 177.2, kwenye bajeti ya mwaka 2026/2027. Akitangaza hayo leo Alhamisi alipokuwa akisoma bajeti hiyo kwenye…