Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Jumla ya Wakenya milioni 31.5 wamejisajili na Mamlaka ya Afya ya Jamii, SHA. Rais William Ruto amesema kati ya waliojisajili, 800,000 ni wakazi wa kaunti za Wajir, Garissa na Mandera.…