Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Rais William Ruto amesema serikali inaendelea kutimiza ahadi ilizotoa kwa wananchi wakati ilipochukua hatamu mwaka 2022. Kiongozi wa taifa alisema utawala wake unajizatiti kutekeleza manifesto yake,kwa lengo kupeleka maendeleo katika…