Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Washukiwa 14 wanaohusishwa na msururu wa uhalifu wa mtandaoni mjini Nakuru wamekamatwa. Washukiwa hao walikamatwa wakati wa operesheni iliyofanywa na wapelelezi kutoka Kitengo cha Upelelezi wa Ulaghai wa Benki (BFIU)…