Rekodi ya Dunia ya Sawe yarasmishwa

Kenya will be represented with a team of 23 athletes in this year’s World Athletics Under-20 Championships to be staged in Oregon, USA, between 5th and 9th next month.

Dismas Otuke
1 Min Read

Shirikisho la Riadha Ulimwenguni limerasmisha rekodi ya Dunia ya Marathon yake Mkenya Sabastian Sawe, ya mwezi Aprili mwaka huu katika mbio za London Marathon.

Sawe alitwaa ubingwa wa mbio hizo kwa muda wa saa 1 dakika 59 na sekunde 30, na kuwa mwanaume wa kwanza kukamilisha mbio za marathoni za kilomita is 42 chini ya saa mbili.

Mwanariadha huyo wa kutoka kaunti ya Nandi, aliboresha rekekodi ya awali kwa sekunde is 65 ya Mkenya mwenza marehemu Kelvin Kiptum, iliyoandikishwa katika mbio za Chicago Marathon Oktoba 8 mwaka 2023.

Share This Article