Museveni awatangaza Mawaziri wapya

Mawaziri wapya ni pamoja na bwanyenye Jonard Asiimwe,Robert Migadde,Lawrence Muganga na Susan Nzambu.

Dismas Otuke
0 Min Read

Rais Yoweri Museveni wa Uganda jana jioni ametangaza Baraza jipya,akiwadumisha wachache kutoka kwa serikali wakati wengine wakitumiliwa.

Jessicah Alupo, alisalia kuwa Makamu Rais, sawia na Robinah Nabbanja ambaye ataendelea kuhudumu kama Waziri Mkuu.

Waziri Mkuu mkongwe wa Fedha Matia Kasaija, alipigwa teke katika mojawapo ya mabadiliko makubwa  ya  Mawaziri.

Mawaziri wapya ni pamoja na bwanyenye Jonard Asiimwe,Robert Migadde,Lawrence Muganga na Susan Nzambu.

Share This Article