Sekta ya Utalii yakumbatia malipo ya dijitali

Dismas Otuke
1 Min Read

Sekta ya Utalii humu nnchini imepigwa jeki pakubwa kufuatia kuzinduliwa kwa  mfumo mpya wa kidijitali kupitia mtandao.

Akizungumza wakati wa kuzinduliwa kwa TouristTap,Waziri wa Utalii Rebecca Miano, alisema  mfumo huo utarahisisha shughuli za kitalii humu nchini na kuongeza pato la kitaifa.

Sekta ya utalii ilichangia pakubwa pato la kitaifa ikukasanya  takriban shilingiu bilioni 500 mwaka uliopita  na pia hutoa nafasi za ajira zipatazo milioni 3.

Mfumo huo wa malipo utarahisisha shuhguli za Utalii kama vile ada za kuingia mbugani,kununjua bidhaa sokoni,kulipia gharama za usafiori,kulipia mikahawa,ada za uwanja wa ndege na hata wachuuzi.

App hiyo imetengenezwa na kampuni ya Craft Silicon.

Share This Article