Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Raia wa Uganda amekamatwa kwenye barabara kuu ya Maai Mahiu- Naivasha, katika operesheni iliyowalenga washukiwa wa ulanguzi wa mihadarati. Baada ya kupashwa habari, maafisa kutoka kitengo cha kukabiliana na mihadarti…