Matukio ya Taifa: Watu sita wajeruhiwa Lamu baada ya shambulizi la kigaidi

radiotaifa
0 Min Read

Watu zaidi ya sita wamejeruhiwa kufuatia shambulizi la kigaidi eneo la nyongiro katika barabara ya witu kuelekea Garseni alfajiri ya kuamkia leo.

Share This Article
Leave a Comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *