Japani na Uholanzi waumiza nyasi bila lengo

Japani na Uholanzi waumiza nyasi bila lengo.

Dismas Otuke
1 Min Read
ARLINGTON - lr Takefusa Kubo of Japan and Frenkie de Jong of the Netherlands during the FIFA 2026 World Cup Group F match between the Netherlands and Japan at Dallas Stadium on June 14, 2026, in Arlington, United States. ROBIN VAN LONKHUIJSEN / ANP FIFA World Cup, WM, Weltmeisterschaft, Fussball 2026 2026 xVIxANPxSportx/xxANPxIVx 561019928 originalFilename: 561019928.jpg

Blue Samurai ya Japani ilitoka nyuma mara mbili na kunusuru alama katika sare ya 2-2 dhidi ya Wanachungwa kutok Uholanzi mjini Dallas katika kundi E, mechi iliyotitigwa uwanjani Dallas nchini Mareani Jumapili usiku.

Baada ya timu zote kuambulia sare tasa katika dakika 45 za kwanza, nahodha wa Uholanzi Virgil van Dijk alipachika bao la ufunguzi kwa Uholanzi dakika sita baada ya kipindi cha pili kuanza.

Blue Samurai ya Japani walisawazisha dakika sita na baadaye Crysencio Summerville, akairejesha Uholanzi uongozini huku magoli yote ya Waholanzi yakichangiwa na Ryan Gravenberch.

Kiungo wa Crystal Palace Daichi Kamada naye alihakikisha Japani wanazoa alama hiyo moja muhimu alipofyatua tobwe na kutua kimiani dakika mbili kabla ya kipenga cha mwisho.

Share This Article