Rais Donald Trump wa Marekani atishia adhabu kali kwa Tehran,endapo itakiuka mwafaka wa kusitisha vita

Dismas Otuke
0 Min Read
Donald Trump - Rais wa Marekani

Rais Donald Trump wa Marekani ameapa kuiadhibu vikali Iran endapo itakiuka mwafaka wa kusitisha mapigano.

Haya yanajiri huku Lebanon ikitangaza siku ya kitaifa ya maombolezo kufuatia mashambulizi ya Israel yaliyosababisha vifo zaidi ya 200 na wengine zaidi ya 1,000 wakiuawa.

Marekani ilisitisha mashambulizi baada ya Iran kukubali kusitisha mapigano.

TAGGED:
Share This Article