Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Washukiwa wawili wa wizi wa Mifugo wamekamatwa huku mifugo waliobwa walipatikana katika kaunti ya Bungoma. Operesheni ya pamoja ilitekelezwa baada ya wamiliki mifugo kuripoti kutoweka kwa mifugo 14 walipokuwa malishoni…